“Kuna”
wenzako waolewa we huolewi kwani we
ati una hila moja husemi na majirani we
sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
sema na hila ya nne mwenzetu mchafu ndani we
kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
kanijencee kibanda kwenu wataniva
kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
kanijencee kibanda kwenu wataniva
kanijencee kibanda udugu wangu eeh eeh eh
kanijencee kibanda shoga zako wataniva
kanijencee kibanda kwetu eeeh eeh eh
kanijencee kibanda kwenu wataniva
lalilo lilo eeeeh, pambe tu!
lololo lololo! lali lali lalii, laa lalii lali lali lalii
ooo oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
oooh ooh oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
oooh ooh oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini toss umezidi
jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
oooh ooh oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh!
watu wote wachepuka lakini lizer umezidi
acha nicheze mie
na watu wangu jangwani nalia
ooooh! Acha niringe mie
na watu wangu jangwani nalia
aaaaah! Aaah ah! Acha nicheze mie
na watu wangu jangwani nalia
acha nijishave shave
na watu wangu jangwani nalia
ooooh lolilo lilo eeeh!
kuntu! Mambo hayo
alolololo lolo lolooo!
aah eeh mama mwanangu ooh!
mama mwanangu ooh!
aah mama mwanangu eeh!
mama mwanangu eeh!
waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
waniacha napinda mgongo we, mbona sijijvi
Comment